Category: SWAHILI NEWS
Makachero wanasa heroini, dawa zingine katika operesheni Pwani
Polisi wamenasa aina kadhaa za dawa za kulevya katika operesheni huko Pwani. Kulingana na taarifa ya Kurugenzi ya Uchunguzi wa Makosa ya Jinai, dawa za [more…]
Wakili Bwire Super Cup Yarejea Rasmi.
Mbunge wa Taveta Wakili Bwire ametangaza kurejea kwa Wakili Bwire Super cup. Kupitia ukurasa wake rasmi wa facebook mbunge huyo ametangaza kurejea kwa mashindano hayo [more…]
Urusi : Rais Wa Urusi, Vladimir Putin Amuunga Mkono Kamala Harris’
Rais wa Urusi, Vladimir Putin amesema baada ya Rais wa sasa wa Marekani, Joe Biden kujiondoa katika kinyang’anyiro cha Urais, Taifa la Urusi linamuunga mkono [more…]
Wajumbe Wa Serikali Wafanya Kongamano La Vijana Taveta
Naibu Waziri Shadrack Mwadime na wajumbe kutoka Serikali za Kitaifa na Kaunti walifanya Kongamano la Vijana la Taita Taveta 2024 katika Kaunti Ndogo ya Taveta.Mkutano [more…]
Luis Suarez Ametangaza Kustaafu kuichezea Uruguay kumbukumbu za Ghana zikizua kwa mashabiki.
Wakati wa Kombe la Dunia 2010 pale Afrika Kusini, Mechi ya robo fainali dhidi ya Ghana, Stephen Appiah wa Ghana akiwa anaelekea kuweka Historia ya [more…]
Victor Osimhen Kujiunga Galatasaray Kwa Mkopo.
Galatasaray wamekata tiketi ya ndege kwa ajili ya Victor Osimhen ikiwa yote yataenda vizuri kulingana na mkataba. Mkataba wa mkopo umekamilika na kukubaliana na Napoli, [more…]