Rayvany Kaweka Album Ya Harmonize #VisitBongo Badala Ya Yakutoa Nyimbo Zake 5 Kama Alivyoahidi

Estimated read time 1 min read

Rayvany alikuwa ameahidi kutoa nyimbo zake 5 siku ya jana ila hakufanya hivyo.

Alichokifanya ni kueka Instastory Album ya Harmonize #visitbongo badala yake kutoa nyimbo hizo.

Rayvany akusema chochote kuhusiana na nyimbo zake hizo.

Baadhi ya mashabiki walimfuata Instagram kwenye comment kumuitwa muongo kwa kuwadanganya.

Share this post

You May Also Like

More From Author

+ There are no comments

Add yours